Katika East afrika tv kuna kipindi kinaitwa 5selekt ni kipindi kinacho wahusu wanafunzi wote wa Aafrika mashariki na kila Alhamis ya mwisho wa mwezi wanafunzi wanasogezewa burudani karibi baada ya kupiga buku kwa muda mrefu sana.
Hilo shangwe ni la Dully ambaye ndio alikuwa na jukumu la kugawa burudani shuleni hapo.
Time ya Shikide ikafika kilichotokea ndio hiki wanafunzi walishindwa kujizuia wakaungana kwenye stage na mr. Shikide.
Hapa sasa mwenye macho haambiwi tazama.
Kweli burudani ndio kila ki2 pamoja na juwa kuwa kali lakini wapi......!!!!!
Unamuona Qeen Doren...!!!
Ndugu hiyo ni fashion show kutoka kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mama Salma Kikwete niskize mm pia....!!!
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment
,