Rapper LL COOL J amechaguliwa kuwa mshereheshaji katika onyesho la The Grammy Nominations linalo tarajia kufanyika jijini Los Angeles.
LL ambaye alishawahi kushinda tuzo hizo, ataongoza mzigo huo kwa mara ya pili mfululizo.
Baadhi ya wasanii waliotajwa kukamua katika onyesho hilo ni kundi la Black Eyed Peas, Maxwell na Sugarland.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
17 hours ago
No comments:
Post a Comment
,