Fununu zinadai kwamba wapinzani wawili Jose Chameleone na Bebe Cool wako studio kurekodi albam ya pamoja.
Inasemekana wanataka kutumia njia hii kama njia moja wapo ya kuwawezesha kutikisa tena anga ya muziki Afrika Mashariki.
Wimbo wa kwanza pengine kuachiwa ni remix ya wimbo uitwao 'Bogolako' ambao aliuimba Bebe Cool.
Benki ya CRDB yaendelea kusaidia jitihada za Serikali kuboresha mazingira
ya elimu nchini
-
Katika utekelezaji wa Sera yake ya Uwekezaji kwenye Jamii, Benki ya CRDB
imeendelea kusaidia jitihada za Serikali kuboresha mazingira ya elimu
nchini.
...
10 minutes ago
hope itakuwa kali mbayaaa...ngoja tusubili tuone...
ReplyDeleteThis is the way to go.
ReplyDeleteBlessings to y'all Brothers