Rapper Cannibal wa nchini Kenya anatazamia kupata mkataba na kampuni ya kurecord muziki nchini Afrika Kusini.
Mchizi alikuwa nchini humo kwa ajili ya kuhudhuria halfa ya tuzo za muziki amedai kuwa ameshaongea na baadhi ya kampuni hizo na haja ridhishwa nazo lakini atapopata moja itakayo mridhisha na mkataba wa maana basi hao ndio ataingia nao mkataba.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment
,