Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, Bi. Rose Muhando, amepata ajali mbaya usiku wa kuamkia leo baada ya gari lake aina ya Toyota prado kupinduka mara tatu na kuharibika kiasi cha sasa halitamaniki.
Rose amepata ajali hiyo Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, alipata ajali hiyo akiwa na wanakwaya wenzie wakielekea mkoani humo baada ya kutoka kwenye mkutano mmoja wa Injili uliokuwa ukifanyika wilaya Kiteto mkoani Manyara.
Ajali hiyo mbaya ilitokea jana usiku mishale ya saa tano na nusu, Hata hivyo muimbaji huyo pamoja na wenzie waliniusurika baada ya wote kutoka salama ingawa gari lilikuwa limepondeka vibaya.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,