Mwanamuzi Elton John ameanza kupata nafuu hospitali baada ya kulazwa kwa kupata mafua yanayo sababishwa na bakteria aina ya e coil, ambapo imemsababishia kufuta matamasha kadhaa ambayo alipanga kuyafanya.
Hata hivyo msemaji wake amenukuliwa akisema anatarajia Sir John kurejea jukwaani mapema kwa ajili ya kuendelea na matamasha yake.
Ugonjwa huo ulipelekea Elton John kuahirisha matamasha yake ya Uingereza, Ireland hata lile lililopangwa kufanyika Oktoba 23 huko Sheffield na mengine matatu yaliyokuwa yafanyike November 4 na 7.
Benki ya CRDB yaendelea kusaidia jitihada za Serikali kuboresha mazingira
ya elimu nchini
-
Katika utekelezaji wa Sera yake ya Uwekezaji kwenye Jamii, Benki ya CRDB
imeendelea kusaidia jitihada za Serikali kuboresha mazingira ya elimu
nchini.
...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,