Mwanamuzi Elton John ameanza kupata nafuu hospitali baada ya kulazwa kwa kupata mafua yanayo sababishwa na bakteria aina ya e coil, ambapo imemsababishia kufuta matamasha kadhaa ambayo alipanga kuyafanya.
Hata hivyo msemaji wake amenukuliwa akisema anatarajia Sir John kurejea jukwaani mapema kwa ajili ya kuendelea na matamasha yake.
Ugonjwa huo ulipelekea Elton John kuahirisha matamasha yake ya Uingereza, Ireland hata lile lililopangwa kufanyika Oktoba 23 huko Sheffield na mengine matatu yaliyokuwa yafanyike November 4 na 7.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment
,