Juhudi za mwanuamuziki Beyonce za kujaribu kufanya onyesho nchini Misri zimebuma, maofisa wa nchi hiyo wanahisi onyesho la mwana dada huyu litazuwa timbwili.
Waislam wenye msimamo mkali wamedai kuwa onyesho la bi-shosti huyo linaweza kuhatarisha amani katika jamii ya Waislam waishio nchi humo.
Kundi hilo la kiislam lenye hitikadi kali limeilalamikia serikali ya nchi hiyo kwa kuruhusu onyesho hilo kuendelea wakidai kuwa vivazi vya Beyonce vinapotosha jamii.
Hata hivyo waandaaji wa onyeshio hilo wamekana ripot hizo wakidai kwamba nchi ya Misri haina haina sheria na msimamo makali kwa wasanii wanao kuja kufanya maonyesho.....
HAYA SASA WAKATI HAPA BONGO RAIA WANAMTAMANI MBAYAAA KUMUONA LAKINI HUKO WAMEGOMA INGEKUWA BONGO INGEWAJE....????
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
3 hours ago
bwana hizi nchi wana msimamo mbaya! hata malaysia alitaka kuja wakampa NO... kibongo bongo mara moja tu angekua kesha ingia..
ReplyDelete