Hii ni kampuni inayojihusisha na harakati za kuendeleza muziki wetu wa Bongo Flva inaitwa MAUCHAFU INTERTAINMENT, Kampuni ambayo inamilikiwa na mchizi ambaye yeye ni mbongo lakini kwa sasa mchizi anaishi Finland huko anafanya shughuli zake pamoja na kuandaa miundombinu ya kuhakikisha muziki wetu uanfika katika level flan hivi...
Kwa sasa kampuni hiyo inawasanii kama Ney wa Mitego pamoja na Hakim 5 na wengineo ambao wapo huko Finland
MBUNGE ABOOD AKABIDHI MADAWATI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH, MIL. 28
KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAZIMBU MKOANI MOROGORO.
-
Madawati yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Mil. 28 yamekabidhiwa katika Shule
ya Sekondari ya Mazimbu Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mjini kama
sehemu ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,