Mshindi wa tuzo ya msanii mwenye mashairi bora duniani na mwaka jana, Mrisho Mpoto 'Mjomba' anatarajiwa kuondoka nchini wiki ijayo kuelekea jijini Paris, Ufaransa kwa ajili ya kukabidhi tuzo hiyo kwa mshindi wa mwaka huu.
Mrisho anasafiri kuelekea Paris Ufaransa kukabithi tuzo ya msanii mwenye mashairi bora wa mwaka 2008, ambayo itashindaniwa kuanzia November 16 hadi 22 katika visiwa vya Eunion, vilivyoko kwenye Bahari ya Hindi.
Hati Fungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London
-
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa
kwa kuiorodhesha Hati fungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la
Hisa l...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,