Rapper DMX amejikuta katika matatizo mengine kwani kwa sasa anadaiwa kiasi cha dola millioni 1.5 za ushuru.
Mamlaka ya mapato ya jijini New York imefunguwa mashtaka dhidi ya rapper huyo pamoja na mkewe Tashera kwa kushindwa kulipa ushuru huo mnamo mwaka 2006.
Mbali na hapo rapper huyo anadaiwa kiasi cha dola 44,357 na dola 370,460
za ushuru kwa kushindwa kulipa mnamo mwaka 2005.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,