Usiku wa tarehe 7-Nov- na 8-Nov-2009
Kutakuwa na chereko! chereko za Usiku wa utamaduni wa Mtanzania uliopewa jina
la Tanzanight,Tamasha hilo litafanyika Mjini Tampere,Finiland,
Wadau msikose Kujichanganya katika ukumbi maarufu Klub,Tampere
karibuni sana.
MBUNGE ABOOD AKABIDHI MADAWATI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH, MIL. 28
KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAZIMBU MKOANI MOROGORO.
-
Madawati yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Mil. 28 yamekabidhiwa katika Shule
ya Sekondari ya Mazimbu Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mjini kama
sehemu ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,