Naomi Cambell akihusika poa katika jukwaa, wakati wa onesho maalum lililoandaliwa na Taasisi ya kimataifa yab The White Ribbon Alliance for safe motherhood(WRA) nchini lillilofanyika jana usiku katika hoteli ya movenpick jijini Dar es salaam , kampeni hii inalenga kuhamasisha afya ya mama na mtoto mara baada ya kujifungua.
Huyu ni mchizi kutoka EATV anaitwa Deogratius Kithama akifanya mahojiano na Naomi Cambell jana usiku katika onesho la mavazi la The White Ribbon Alliance for safe Motherhood
Mke wa Rais mama Salma Kikwete akiongea na Mwanamitindo wa kimataifa Naomi Cambell wakati wa onyesho la mavazi la The White Ribbon Alliance for safe Motherhood lililofanyika kwenye Hoteli ya Movenpick
MAUZO YA NYAMA NJE YA NCHI YAONGEZEKA- MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa mauzo ya nyama nje ya nchi
yameongezeka kutoka tani 1,774 mwaka 2020/2021 hadi kufikia tani 14,701
mwaka 2022/2023...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,