BRING IT ON ni tamasha linaliwakutanisha wanafunzi kwa pamoja katika upande wa burudani litafanyika ijumaa hii pale Diamond Jubilee na kushirikisha wasanii tofauti wa Bongo flava, yupo Hemedi, God Zila, Dully Sykes, Baby Madaha na wengine wengi.
Unaweza kumuita PHD au dry chama na sijajuwa sababu ya mchizi kujiita hivyo lakini itabidi nimuulize kuhusu hili ni moja kati ya wasanii watakao kamuwa ijumaa hii Diamon Jubilee.
Huyu mchizi anaitwa Said ni moja kati ya waandaajia wa hilo dude latakalo fanyika ijumaa hii, alikuwa katika interview na Sam katika Power Jams leo mchana.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
,