Hili ni tukio la kusikitisha sana lililotekea huko mkoani Kilimanjaro wilaya ya Same katika kijiji cha Goha, Tumepoteza Watanzania wenzetu wengi tu mpaka sasa inakadiriwa ni watu 27 wamefariki kutokana na hayo maporomoko ya ardhi yaliyo sababishwa na mvua kubwa zinazonyesha huko.
Mpango Mzima imeona haina budi kuwapa pole wale wote walioguswa na janga hili kwa nama moja ama nyingine na MUNGU AZILALE ROHO ZA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMIN.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,