Baada ya mishe mishe zote hizo sasa dogo akaangukia penyewe ambapo raia walikuwa wanapataka, ameachia mkwaju mmoja matata sana unaitwa KAMWAMBIE kama bado hujausoma angalia Planet Bongo leo saa tatu usiku utaisoma..... Na kama kama ulikuwa humjuwi huyu ndio Diamond alidriki hadi kuiba pete ya dhahabu ya mama yake na kuuza kwa ajili ya kwenda kurecod duh...!!!!
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment
,