Baada ya mchizi kusepa kona zile za Zizzou Entertainment kwa sababu ambzo bado hazijawa wazi na nafasi yake kuchukuliwa na Mzee Zahir zoro baba mzazi wa mwanamuziki Banana zoro.
Hapa namzungumzia Ruta Bushoke ambaye alifanya poa sana na ngoma yake ya Dunia njia, Sasa inasemekana jamaa yupo Dodoma na huko anaandaa bendi yake ambayo kwa sasa wanafanya mazoezi ya kufa mtu kwa ajili ya kurudi tena rasmi katika ulimwengu huu wa Bongo Flava.
Kwa maana hii idadi itaongezeka ya wasanii wa Bongo Flava ambao wanafanya kazi na Live Band kama B BAND, MACHOZI BAND na nyinginezo.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,