Baba wa Michael Jackson, Joe Jackson amepigwa chini katika kurithi mali za mwanaye lakini anaweza akapata allowance.
Jaji wa mahakama amesema jina la mshua huyo halijawekwa katika mirathi lakini atakuwa anapewa kidogo fedha za matumizi.
Joe ndio alikuwa mstari wa mbele katika kutoa mafunzo na kuanzisha kundi landugu watano la The Jackson 5, kundi ambalo ndio lilikuwa mwanzo wa Michael Jackson kupata umaarufu duniani kote.
WAZIRI MKUU AKAGUA SHAMBA LA MKULIMA WA KAKAO, KYELA
-
Waziri Mkuu Kasssim Majaliwa leo Mei 12, 2024 ametembelea shamba la Mkulima
zao la Kakao Clement Msalangi lililopo kijiji cha Mababu, Wilayani Kyela
Mei 12...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
,