Mwanandondi mkongwe Evander Holyfield anatarajia kutuwa nchini Uganda kwa ajili ya pambano moja ambalo linatarajiwa kufanyika mwezi ujao.
Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Evander kukanyaga ardhi ya nchini Uganda.
Katika pambano hilo ambalo litafanyika jijini Kampala mwanandondi huyo anatarajia kukipiga na mchizi kutoka Afrika Kusini anaitwa Francois "White Buffalo" Botha.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment
,