.

Tuesday, October 20, 2009

BAADA YA KIMYA SASA RIHANNA AMEAMUWA KUFUMBUWA MDOMO..

Baada ya kimya cha muda mrefu, Rihanna anatarajia kufanya mahojiano yake ya kwanza kwa mwaka huu toka tukio lake na Chris Brown litokee mapema mwaka jana. Rihanna anatarajia kufanya mahojiano hayo na watangazaji wa kipindi cha Good Morning America mwezi ujao. Mbali na mahojiano, bi shosti huyo aliyetamba na nyimbo kama Umbrella na Rehab anatarajia kuachia single yake ambayo pia inapatikana katika albam yake mpya mwishoni mwa mwezi ujao

No comments:

Post a Comment

,