Baada ya kimya cha muda mrefu, Rihanna anatarajia kufanya mahojiano yake ya kwanza kwa mwaka huu toka tukio lake na Chris Brown litokee mapema mwaka jana. Rihanna anatarajia kufanya mahojiano hayo na watangazaji wa kipindi cha Good Morning America mwezi ujao. Mbali na mahojiano, bi shosti huyo aliyetamba na nyimbo kama Umbrella na Rehab anatarajia kuachia single yake ambayo pia inapatikana katika albam yake mpya mwishoni mwa mwezi ujao
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,