Baada ya kimya cha muda mrefu, Rihanna anatarajia kufanya mahojiano yake ya kwanza kwa mwaka huu toka tukio lake na Chris Brown litokee mapema mwaka jana. Rihanna anatarajia kufanya mahojiano hayo na watangazaji wa kipindi cha Good Morning America mwezi ujao. Mbali na mahojiano, bi shosti huyo aliyetamba na nyimbo kama Umbrella na Rehab anatarajia kuachia single yake ambayo pia inapatikana katika albam yake mpya mwishoni mwa mwezi ujao
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment
,