Baada ya kimya cha muda mrefu, Rihanna anatarajia kufanya mahojiano yake ya kwanza kwa mwaka huu toka tukio lake na Chris Brown litokee mapema mwaka jana. Rihanna anatarajia kufanya mahojiano hayo na watangazaji wa kipindi cha Good Morning America mwezi ujao. Mbali na mahojiano, bi shosti huyo aliyetamba na nyimbo kama Umbrella na Rehab anatarajia kuachia single yake ambayo pia inapatikana katika albam yake mpya mwishoni mwa mwezi ujao
Bridging the Gap: JAB to Partner with Bloggers Network on Training
-
*Tanzania Bloggers Network (TBN) Chairman Beda Msimbe (left) meets with the
Journalism Accreditation Board’s Acting Director General, Advocate Patrick
Ki...
27 minutes ago

No comments:
Post a Comment
,