TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

Kaka Bukuku anatupa TASWIRA njema saana kwa hakika.
ReplyDeleteNamshukuru kila iitwayo leo na naamini ataendelea kuwa na afya njema na kuendelea kutuhabarisha, kutuelimisha, kutuonesha na kutupa kwa kila kila kitokeacho mbele ya kamera yake yenye shangwe tele
Kuwa kwenye kiota chake hunifanya niwe na FULL SHANGWE
Blessings