.

Thursday, October 29, 2009

HUYU NDIO MZEE WA BLOG YA FULL SHANGWE .

Kushoto John Bukuku akiwa na Mpango Mzima (dullah)...Kama uliwahi kutembelea blog ya full shangwe basi huyu ndio kifaru wa huo mzigo kwa habari zaidi tembelea www.fullshangwe.blogspot.com

1 comment:

  1. Kaka Bukuku anatupa TASWIRA njema saana kwa hakika.
    Namshukuru kila iitwayo leo na naamini ataendelea kuwa na afya njema na kuendelea kutuhabarisha, kutuelimisha, kutuonesha na kutupa kwa kila kila kitokeacho mbele ya kamera yake yenye shangwe tele
    Kuwa kwenye kiota chake hunifanya niwe na FULL SHANGWE
    Blessings

    ReplyDelete

,