.

Thursday, October 29, 2009

UMESHAWAHI KULA PWEZA WEWE...???

Huyu jamaa anaitwa Juma yeye anaishi Kigamboni na hiyo ndio biashara yake na kikubwa zaidi jamaa anaijuwa PALNET BONGO kuliko unavyo ijuwa ni nomaaa...

Leo mjini katika mishe mishe za kukimbizana na kitu kinachoitwa pesa, tulifika sehemu tukaweka poz kidogo.. sindio akapita muuza pweza bahati nzuri sasa kumbe yule jamaa muuzaji ni bonge la shabiki wa PLANET BONGO sasa kukawa na shughuli moja tu ya kuwatafuna haoooo pweza ni watamu balaaaaa....
Wenyewe wanasema raha ya pweza chachandu

Josiah Murunga akimsubiri kwa hamu huyo pweza hiyo sasa ni kama round ya pili hivi ya kwanza ilisha gongwa. Lakini wataalam wa mambo wanasema pweza ni dawa ya mambo flani sijui ni kweliiii....???

No comments:

Post a Comment

,