Leo mjini katika mishe mishe za kukimbizana na kitu kinachoitwa pesa, tulifika sehemu tukaweka poz kidogo.. sindio akapita muuza pweza bahati nzuri sasa kumbe yule jamaa muuzaji ni bonge la shabiki wa PLANET BONGO sasa kukawa na shughuli moja tu ya kuwatafuna haoooo pweza ni watamu balaaaaa....
TUME YA UCHAGUZI YAHITIMISHA MAFUNZO YA WASAIDIZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI
-
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe. Awadh Ali Said, akizungumza
wakati wa kufunga mafunzo.
Wasimamizi wasaidizi wa majimbo ya uchaguzi Zanzib...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
,