Leo mjini katika mishe mishe za kukimbizana na kitu kinachoitwa pesa, tulifika sehemu tukaweka poz kidogo.. sindio akapita muuza pweza bahati nzuri sasa kumbe yule jamaa muuzaji ni bonge la shabiki wa PLANET BONGO sasa kukawa na shughuli moja tu ya kuwatafuna haoooo pweza ni watamu balaaaaa....
MSHTAKIWA TUNDU LISU: “KESI HAIJASIKILIZWA, LAKINI TAREHE YA HUKUMU
IMESHAWEKWA!”
-
MSHTAKIWA wa kesi ya uhaini, Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo Chadema ameibua hoja mbele ya Mahakama Kuu ya
Tanzani...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,