Leo mjini katika mishe mishe za kukimbizana na kitu kinachoitwa pesa, tulifika sehemu tukaweka poz kidogo.. sindio akapita muuza pweza bahati nzuri sasa kumbe yule jamaa muuzaji ni bonge la shabiki wa PLANET BONGO sasa kukawa na shughuli moja tu ya kuwatafuna haoooo pweza ni watamu balaaaaa....
ZAHARA MICHUZI, ALIYEKUWA DED MEATU, IFAKARA NA GEITA AJITOSA MBIO ZA
UBUNGE VITI MAALUM UWT TABORA
-
Zahara Michuzi, mmoja wa watumishi wa umma waliopitia majukumu makubwa
serikalini kwa miaka kadhaa, amejiunga rasmi katika kinyang’anyiro cha
ubung...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,