PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Thursday, October 29, 2009
WAANDAAJI WA HIPHOP NITE / MUSIC & DANCE WAMEKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI LEO.
Sote tuna fahamu kuwa jumamosi hii kutakuwa na usiku wa Hip Hop pale Diamond Jubilee usiku ambao utahusisha wasanii wa Hip Hop kutoka hapa nyumbani na Ufaransa. Leo waandaaji walikutana na waandishi wa habari katiak ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kwa ajili ya kuwapa mkakati mzima wa usiku huo.
Hawa ndio ma-dancer kutoka Ufaransa ambao watasababisha katika usiku huo wa Hip Hop pale Diamond Jubilee.
Muwakilishi kutoka EATV Josiah Murunga akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari.
Unaweza kumuita Mjombaa ama Mrisho mpoto huyu ni moja kati ya wasanii watakao kuwepo kutowa burudani.
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
No comments:
Post a Comment
,