Mimi kwa mtazamo wangu nahisi Professer Jay ni mwanamuziki ambaye ana tuzo nyingi zaidi, nilitimba nyumbani kwake na kukuta rundo la tuzo kutoka sehemu mbalai mbali na hii inamaanisha kwamba kaka mkubwa ni mwanamuziki mwenye mafanikio sana katika muziki.
Hizi ni baadhi ya tuzo ambazo kaka mkubwa anazimiliki kutokana na kazi nzuri aliyoifanya.
Professer Jay pia ni moja kati ya wanamuziki wa Hip Hop ambao wamepata nafasi ya kukamua katika show ya Hip Hop Night ndani ya Diamond Jubilee.
WANAFUNZI WA KIMATAIFA CHUO KIKUU MZUMBE WAWASILISHA MATOKEO YA TAFITI ZA
AWALI KUHUSU MAJI, ELIMU NA USALAMA WA CHAKULA
-
Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Antwerp Ubelgiji na Chuo Kikuu cha Kikristu
cha Uganda ambao wapo katika programu ya kubadilishana Wanafunzi na Chuo...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,