Mshidi wa Tusker Project Fame kwa mwaka huu Alpha Rwangira.
Mshindi wa shindano la kutafuta vipaji vya kuimba, Tusker Project Fame Alpha Rwangira kotoka Rwanda amealikwa kufanya onyesho siku ya Kenyatta tarehe 20/10/09 nchini Kenya.
Onyesho hilo ambalo linatarajiwa kufanyika jijini Nairobi, litahudhuliwa na Rais Kibaki na Waziri mkuu Raila Odinga. Alpha ameondoka na kitita cha dola milloni tano baada ya kunyakuwa ushindi katika mashindano hayo.
BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, KUHAKIKISHA BARABARA YA DAR - LINDI INAPITIKA
NDANI YA SAA 72.
-
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia
wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi
kuhakikisha an...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,