Danny Glover akiwa mzigoni..
Muigizaji Danny Glover anatarajia kutuwa jijini Dar es salaam kwa ajili ya kongamano la kimataifa la waafrica waishio nchi za nje liitwalo 'Africa Home Coming' Kwa mara yakwanza kufanyika jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 25 hadi 30 mwezi huu. Haya waigizaji wetu wa Bongo Danny Glover anatimba Bongo je mnafahamu....?????
BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, KUHAKIKISHA BARABARA YA DAR - LINDI INAPITIKA
NDANI YA SAA 72.
-
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia
wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi
kuhakikisha an...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,