.

Wednesday, October 28, 2009

FID Q LEO ALITIMBA MZIGONI..


Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.

Fid Q akiwa tari kwa ajili ya kuzungumza na raia wa Africa Mashariki kupitia EATV.

Dominick Nyalifa alikuwepo kwa ajili ya E-News

Hapa tunajiandaa kwa ajili ya kuanza kurecord interview na Fid Q kuhusu show ya Hip Hop Night jumamosi hii.

1 comment:

  1. Nyalifa kapata sehemu ya kuuza sura angalau du!

    ReplyDelete

,