Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
2 hours ago

Nyalifa kapata sehemu ya kuuza sura angalau du!
ReplyDelete