Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.
TUME YA UCHAGUZI YAHITIMISHA MAFUNZO YA WASAIDIZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI
-
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe. Awadh Ali Said, akizungumza
wakati wa kufunga mafunzo.
Wasimamizi wasaidizi wa majimbo ya uchaguzi Zanzib...
2 hours ago
Nyalifa kapata sehemu ya kuuza sura angalau du!
ReplyDelete