Mwanamuziki mkongwe Yvonne Chaka Chaka amechaguliwa kuimba wimbo utakao kuwa unatumika kama wimbo rasmi wa kombe la dunia litakalo fanyika mwakani nchini Afrika Kusini.
Wimbo huo utatumika zaidi katika kushangilia nchi kama Ghana na Cote d'Ivoire ambazo zimefuzu kuingia katika michuano hiyo.
BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, KUHAKIKISHA BARABARA YA DAR - LINDI INAPITIKA
NDANI YA SAA 72.
-
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia
wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi
kuhakikisha an...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,