.

Monday, October 19, 2009

HAYA..MA BISHOSTI MANAOPENDA KUNIKIA KAZI KWENU.

Huyu ndio Fergie bi shosti ambaye yu-mbioni kutoa manukato yake..

Mmoja wa waimbaji kutoka kundi la Black Eyed Peas, namzungumzia Fergie anatarajia kuzinduwa manukato ya kike ambayo yataanza kupatikana kuanzia mwakani.
Kampuni ya Avon imetoa nafasi kwa mwanadada huyo kubuni aina ya manukato ayapendayo. Manukato hayo yataanza kuzinduliwa sehemu nyingine duniani kabla ya kuzinduliwa rasmi nchini Marekani.
Kundi la Black Eyed Peas

No comments:

Post a Comment

,