Huyu ndio Fergie bi shosti ambaye yu-mbioni kutoa manukato yake..
Mmoja wa waimbaji kutoka kundi la Black Eyed Peas, namzungumzia Fergie anatarajia kuzinduwa manukato ya kike ambayo yataanza kupatikana kuanzia mwakani. Kampuni ya Avon imetoa nafasi kwa mwanadada huyo kubuni aina ya manukato ayapendayo. Manukato hayo yataanza kuzinduliwa sehemu nyingine duniani kabla ya kuzinduliwa rasmi nchini Marekani.
Kundi la Black Eyed Peas
Serikali kuwakopesha wajasiriamali 18.5bn/- kupitia NMB
-
Na Mwandishi Wetu
Serikali imetenga kiasi cha TZS bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha
wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti ...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,