PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Thursday, October 29, 2009
KAZI YOYOTE INAHITAJI UMAKINI SANA ILI KUIFANYA KWA UFANISI..
Kuna ukweli mkubwa katika hili. Tunahitaji UMAKINI ILI KUWA NA UFANISI na haijalishi ni kazi gani. Tumekuwa na kasumba ya watu kuweka madaraja ya kazi ambazo zinastahili kuwekewa umakini na kuheshimika na nyingine wanazisharau. Hii si sahihi. Nililogundua ni kuwa kazi nyingi ama niseme zote zina umuhimu saaana na zikipewa umakini na ufanisi na heshima kama zinavyostahili, basi tutaona nchi na jamii yetu ikinyookewa zaidi. Mfano ni kazi ya uchomeleaji vyuma ambayo kwa Tanzania yangu ni kazi ya "kijiweni" lakini kwa hapa Marekani ni kazi inayoheshimika na kupewa hadhi ya juu na huifanyi kama hujawa CERTIFIED. Ni sawa na kazi ya uzoaji taka na hata Upishi. Kwa hiyo nakubaliana nawe 100% kuwa KAZI YOYOTE YAHITAJI UMAKINI SANA ILI KUIFANYA KWA UFANISI Nimefurahi kutembelea hapa baada ya kukuona kuleee kwa Da Aggie wa "Kiduchu" Tupo PamoJAH
MZUKA SANA KAKA MKUBWA TUPO PAMOJA MZEE WA CHANGA MOTO NA NAAMINI UTAENDELEA KUTOWA CHANGAMOTO ILI KUONGEZA CHAHU YA MAFANIKIO YA KITU FULANI.. KARIBU SANA NA UNAKARIBISHWA TENA NA TENA NA HUU NDIO MPANGO MZIMA..
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
Kuna ukweli mkubwa katika hili.
ReplyDeleteTunahitaji UMAKINI ILI KUWA NA UFANISI na haijalishi ni kazi gani. Tumekuwa na kasumba ya watu kuweka madaraja ya kazi ambazo zinastahili kuwekewa umakini na kuheshimika na nyingine wanazisharau. Hii si sahihi. Nililogundua ni kuwa kazi nyingi ama niseme zote zina umuhimu saaana na zikipewa umakini na ufanisi na heshima kama zinavyostahili, basi tutaona nchi na jamii yetu ikinyookewa zaidi. Mfano ni kazi ya uchomeleaji vyuma ambayo kwa Tanzania yangu ni kazi ya "kijiweni" lakini kwa hapa Marekani ni kazi inayoheshimika na kupewa hadhi ya juu na huifanyi kama hujawa CERTIFIED. Ni sawa na kazi ya uzoaji taka na hata Upishi.
Kwa hiyo nakubaliana nawe 100% kuwa KAZI YOYOTE YAHITAJI UMAKINI SANA ILI KUIFANYA KWA UFANISI
Nimefurahi kutembelea hapa baada ya kukuona kuleee kwa Da Aggie wa "Kiduchu"
Tupo PamoJAH
MZUKA SANA KAKA MKUBWA TUPO PAMOJA MZEE WA CHANGA MOTO NA NAAMINI UTAENDELEA KUTOWA CHANGAMOTO ILI KUONGEZA CHAHU YA MAFANIKIO YA KITU FULANI.. KARIBU SANA NA UNAKARIBISHWA TENA NA TENA NA HUU NDIO MPANGO MZIMA..
ReplyDelete