PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
Nisikilize mimi......bata litaanza tarehe 30/10/2009 hii itakuwa kaskazini mwa Tanzania naizungumzia Arusha kiwanja ni Masai Camp mpango mzima ni kuwakaribisha rasmi wasikilizaji waEAST AFRICA RADIOpamoja naEASTAFRICA TV(Channel 5). Wana wataruka kopo pande hizo ni siku ya ijumaa, Baada ya hapo Bata litahamia pande za 93.4 fm MO TOWN.. Moshiiiiii..... wana watakinukisha pande zile zile umeshanisoma...????? niiiiii... Club Laliga hiyo itakuwa tarehe 31/10/2009 siku ya jumamosi.Bata zote hizo zimebatizwa jina moja tu niiii...THE CRUISE PARTY. Na mwisho wasiku problem zako zote zinazohusu burudani zitamalizwa na mkali wa crank bongo.. CPWAAAAAA....Unachotakiwa kufanya ni kitu kimoja tu.... JIPANGE MZAZI ALAFU TUONEEEEEEEE....!!!!
UBALOZI WA TANZANIA UJERUMANI WAPONGEZWA
-
NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy
Nderiananga (Mb) ameupongeza Ubalozi wa Jam...
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
No comments:
Post a Comment
,