Radio na Weasel wamekuwa ni wasanii pekee kutoka Afrika Mashariki kunyakuwa tuzo ya Afrika Music Awards ambazo zimefanyika hivi karibuni jijini London. Wawili hao wameshinda tuzo hiyo ya wasanii bora kutoka Afrika Mashariki. Katika tuzo hizo wasanii wa Nigeria ndio wameongoza katika kushinda tuzo wakiwa wamekusanya tuzo nne na kufuatiwa na wasanii kutoka Egypt ambao walikusanya tuzo tatu.
FCC: MPANGO WA KUREKODI ALAMA ZA BIASHARA KUANZA DESEMBA 2025
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa,
akizungumza wakati akiwasilisha kwa chama cha mawakili cha International
Tra...
16 hours ago

No comments:
Post a Comment
,