Radio na Weasel wamekuwa ni wasanii pekee kutoka Afrika Mashariki kunyakuwa tuzo ya Afrika Music Awards ambazo zimefanyika hivi karibuni jijini London. Wawili hao wameshinda tuzo hiyo ya wasanii bora kutoka Afrika Mashariki. Katika tuzo hizo wasanii wa Nigeria ndio wameongoza katika kushinda tuzo wakiwa wamekusanya tuzo nne na kufuatiwa na wasanii kutoka Egypt ambao walikusanya tuzo tatu.
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,