.

Monday, October 26, 2009

NAAMINI KABISA KUNA KILA SABABU YA MSINGI YA KUPIGA MAKOFI..

Radio na Weasel wamekuwa ni wasanii pekee kutoka Afrika Mashariki kunyakuwa tuzo ya Afrika Music Awards ambazo zimefanyika hivi karibuni jijini London. Wawili hao wameshinda tuzo hiyo ya wasanii bora kutoka Afrika Mashariki. Katika tuzo hizo wasanii wa Nigeria ndio wameongoza katika kushinda tuzo wakiwa wamekusanya tuzo nne na kufuatiwa na wasanii kutoka Egypt ambao walikusanya tuzo tatu.

No comments:

Post a Comment

,