Msanii na mmiliki wa bendi ya B Band Banana Zoro atasepa nchini tarehe 28 ya mwezi huu kwenda MAPUTO kwenye tamasha la ktowa msaada linalofahamika UMOJA CONCERT.. mida mida kidogo nitakufahamisha zaidi.
MABARAZA YA USHINDANI,MASOKO YA MITAJI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Baraza la Masoko ya Mitaji linatarajia kuimarisha ushirikiano kwa
kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa kesi, utatuzi wa migogoro na
matumizi ya tekno...
48 minutes ago

Am happy 4 u banana, hongera kwa kuwa na band nzuri iliyokamilika. Keep on being gud bwana n wishing u peaceful safari.
ReplyDelete