Msanii na mmiliki wa bendi ya B Band Banana Zoro atasepa nchini tarehe 28 ya mwezi huu kwenda MAPUTO kwenye tamasha la ktowa msaada linalofahamika UMOJA CONCERT.. mida mida kidogo nitakufahamisha zaidi.
MSHTAKIWA TUNDU LISU: “KESI HAIJASIKILIZWA, LAKINI TAREHE YA HUKUMU
IMESHAWEKWA!”
-
MSHTAKIWA wa kesi ya uhaini, Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo Chadema ameibua hoja mbele ya Mahakama Kuu ya
Tanzani...
23 minutes ago
Am happy 4 u banana, hongera kwa kuwa na band nzuri iliyokamilika. Keep on being gud bwana n wishing u peaceful safari.
ReplyDelete