Msanii na mmiliki wa bendi ya B Band Banana Zoro atasepa nchini tarehe 28 ya mwezi huu kwenda MAPUTO kwenye tamasha la ktowa msaada linalofahamika UMOJA CONCERT.. mida mida kidogo nitakufahamisha zaidi.
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
2 hours ago

Am happy 4 u banana, hongera kwa kuwa na band nzuri iliyokamilika. Keep on being gud bwana n wishing u peaceful safari.
ReplyDelete