Msanii na mmiliki wa bendi ya B Band Banana Zoro atasepa nchini tarehe 28 ya mwezi huu kwenda MAPUTO kwenye tamasha la ktowa msaada linalofahamika UMOJA CONCERT.. mida mida kidogo nitakufahamisha zaidi.
TUME YA UCHAGUZI YAHITIMISHA MAFUNZO YA WASAIDIZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI
-
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe. Awadh Ali Said, akizungumza
wakati wa kufunga mafunzo.
Wasimamizi wasaidizi wa majimbo ya uchaguzi Zanzib...
3 hours ago
Am happy 4 u banana, hongera kwa kuwa na band nzuri iliyokamilika. Keep on being gud bwana n wishing u peaceful safari.
ReplyDelete