Nilikufahamisha kuwa wasanii wa Bongo Flava pamoja na wangoma za asili watafanya show katika nchi tatu tofauti, ETHIOPIA,ADDIS ABABA na FINLAND (HELSINKI). Wasanii hao ni pamoja na Dudu Baya, Benjamini wa Mambo jambo pamoja na kikundi cha ngoma za asili kinaitwa Sanaa Sana, Sasa kimeshaanza kunuka pande za hukooooo.... Helsinki huu ni mwanzo tu bado wana vimeo zaidi na watarejea nyumbani tarehe 18 November.
Bridging the Gap: JAB to Partner with Bloggers Network on Training
-
*Tanzania Bloggers Network (TBN) Chairman Beda Msimbe (left) meets with the
Journalism Accreditation Board’s Acting Director General, Advocate Patrick
Ki...
25 minutes ago

No comments:
Post a Comment
,