Nilikufahamisha kuwa wasanii wa Bongo Flava pamoja na wangoma za asili watafanya show katika nchi tatu tofauti, ETHIOPIA,ADDIS ABABA na FINLAND (HELSINKI). Wasanii hao ni pamoja na Dudu Baya, Benjamini wa Mambo jambo pamoja na kikundi cha ngoma za asili kinaitwa Sanaa Sana, Sasa kimeshaanza kunuka pande za hukooooo.... Helsinki huu ni mwanzo tu bado wana vimeo zaidi na watarejea nyumbani tarehe 18 November.
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment
,