Mama mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya picco aliye wahi kutamba na ngoma ya "kikongwe" enzi zile amefaliki dunia siku ya tarehe 16/10/09, Mama yake Picco alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya titi, Mama yake Picco amefariki akiwa Mpanda, Sumbawanga na mazishi yatafanyika huko huko, MPANGO MZIMA INAKUPA POLE SANA PICCO NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMENI.
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
1 hour ago

This comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDelete