.

Friday, October 16, 2009

KWELI MR. MISIFA KAAMUA..

Brother men, handsome boy, misifa au unaweza kumuita brother shikide almaarufu kwa jina dully sykes ameona sio ishu sasa yupo njiani kuungana na kina Banana, Lady jay dee pamoja na Tid kwa sababu hawa jamaa wana band Dully naye ameamuwa kufanya hivyo muda sio mrefu atakuja na band yake inayoitwa THE BROTHER MAN... haya kila la kheri ndugu yangu...

3 comments:

  1. THE BROTHERMAN??????????//// ASHHH, kweli kakosa washauri, hilo jina halina mvuto hata tone, mshikaji ajaribu kutafuta title nyingine watu hawahitaji wauza sura, kinachohitajika ni sanaa nayo huanzia kwenye jina na mengineyo, nani mwenye heshma zake umwambie twende kwenye THE BROTHERMAN BAND?

    Look at Machozi Band, The B Band and even Kilimanjaro Band.

    I can help u, on either SYKES BAND, STAR BAND, RAINBOW BAND, or even 'D TO THE S BAND'.

    Ni ushauri tu, Lkn THE BROTHERMAN! Mmh,mmh!

    ReplyDelete
  2. Unajiita Handsome, kweli bongo watu hawalipi

    Mdau US

    ReplyDelete
  3. tunaomba utuwekee na kaka yako choster umo tumuone maana naye si handsome boy wa ilala. na ni mzuri na mnafanana saaaaana ivi ni nduguyo sijui maana hata hatujui wengine

    ReplyDelete

,