Kwanza watanzania walidata na goma ya Bep bep ya Malrow ambapo ilifanya poa sana baada ya muda kijana kutoka pande za Kariakoo,Ally Kiba akaja kuongeza ladha zaidi alipo achia ngoma yake ya USINISEME katika style hiyo hiyo ya kiduku akaibuka tena kijana kutoka Dhahabu record dully akawapa raha raia kwa ngoma yake ya SHIKIDE, Sasa swali linakuja nini maana halisi ya neno Shikide....???? ilikuwa hakuna wakujibu kwa usahihi zaidi ya Dully lakini mwisho wa siku mchizi naye hafahamu maana ya hilo neno soooo.... amewaachia uhuru raia kutoa maana ya neno hilo kulingana na mazingira husika kwa mfano mimi nitaitafsiri hivi.... 'duh... kweli mpango mzima full shikide' umenisoma au nimekuacha....????
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,