Kwanza watanzania walidata na goma ya Bep bep ya Malrow ambapo ilifanya poa sana baada ya muda kijana kutoka pande za Kariakoo,Ally Kiba akaja kuongeza ladha zaidi alipo achia ngoma yake ya USINISEME katika style hiyo hiyo ya kiduku akaibuka tena kijana kutoka Dhahabu record dully akawapa raha raia kwa ngoma yake ya SHIKIDE, Sasa swali linakuja nini maana halisi ya neno Shikide....???? ilikuwa hakuna wakujibu kwa usahihi zaidi ya Dully lakini mwisho wa siku mchizi naye hafahamu maana ya hilo neno soooo.... amewaachia uhuru raia kutoa maana ya neno hilo kulingana na mazingira husika kwa mfano mimi nitaitafsiri hivi.... 'duh... kweli mpango mzima full shikide' umenisoma au nimekuacha....????
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment
,