Kwanza watanzania walidata na goma ya Bep bep ya Malrow ambapo ilifanya poa sana baada ya muda kijana kutoka pande za Kariakoo,Ally Kiba akaja kuongeza ladha zaidi alipo achia ngoma yake ya USINISEME katika style hiyo hiyo ya kiduku akaibuka tena kijana kutoka Dhahabu record dully akawapa raha raia kwa ngoma yake ya SHIKIDE, Sasa swali linakuja nini maana halisi ya neno Shikide....???? ilikuwa hakuna wakujibu kwa usahihi zaidi ya Dully lakini mwisho wa siku mchizi naye hafahamu maana ya hilo neno soooo.... amewaachia uhuru raia kutoa maana ya neno hilo kulingana na mazingira husika kwa mfano mimi nitaitafsiri hivi.... 'duh... kweli mpango mzima full shikide' umenisoma au nimekuacha....????
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,