.

Thursday, October 15, 2009

MISHE MISHE ZA FAINALI BONGO STAR SEARCH

Muheshmiwa naye ndani ya nyumba katika fainali za BSS ni Zito Kabwe mbunge wa Kigoma kaskazini.


Muite Shaaaa... Msanii wa muziki wa bongo flava alikinukisha mbayaaaa katika fainali za BSS


Huyu jamaa alikuwa na jukumu moja tu la kuwaburudisha mashabiki wa BSS waliohudhulia katiaka fainali za BSS zilizo fanyika katika ukumbi wa Diamond jubilee. Anaitwa AY.


Abubakari mzuri nimoja kati ya vipaji vilivyo ibuliwa na BSS, Hapa alikuwa back stage akisubili kukisanuwa katika fainali hizo katika ukumbi wa Diamond jubilee.


Mkali wa kugiza sauti za viongozi mbali mbali hapa nchini steve nyerere pia alikuwa ni mmoja kati ya wasanii walio kamuwa vilivyo katika fainali za BSS, Kuna mtu kanusanuwa kuwa huyo wa pembeni yake ni mtalajiwa wake mmh... sijuwi...


Warembo walikuwa wakutosha si unamuona hapo bi shosti Jacline Wolper msanii wa maigizo bongo ambaye kwa sasa anaumiza kichwa wakongwe katika tasnia hiyo ya movie bongo, Alikuwepo katika fainali za BSS


Watu wengi walijitokeza kushuhudia fainali za BSS katika ukumbi wa Diamond

Chief judge Rita paulsen umakini asilimia mia...


Mmoja wa ma judge wa shindano la BSS Mr. Kitime akiwa makini kazini..

No comments:

Post a Comment

,