Huyu ndio Alpha Rwangwira
Si unamjuwa anaitwa AY kutoka Tanzani.
Yule mshindi wa mwaka huu wa Tusker Project Fame Alpha Rwangira ambaye amevuta mpunga wa kutokana na ushindi huo jamaa ni ndugu yake na AY nilipata nafasi ya kuchonga na AY na aliniambia kwamba yule ni mtoto wa mjomba wake ambapo baada ya mama yake AY ndio anafuata baba yake na Alpha Rwangira, duh.. kumbe hawa jamaa dugu moja.
Alpha Rwangira tofauti na kuvuta mkwanja wa nguvu kutokana na ushindi huo wa Tusker Project Fame mchizi pia ana bima ya afya ya kufa mtu, hata akitaka leo apelekwe Marekani kusafishwa meno inawezekana kutokana na hilo dau la bima yake ya afya.
Serikali kuwakopesha wajasiriamali 18.5bn/- kupitia NMB
-
Na Mwandishi Wetu
Serikali imetenga kiasi cha TZS bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha
wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti ...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,