Leo ni tarehe 30/10/09 ambapo Arusha ndio paleee Masai camp ktakuwa na party kwa ajili ya wajanja wote wa A-TOWN na kwenye stage ni yule yule mkali zaidi yao si mwingine ni mchizi mwenye muonekano wa kiupole sana umesha mfahamu ni nani mchizi anaye fanya vizuri sana katika upande wa Bongo Crank umesha mjuwa niiiii.... CPWAAAAAA... USIKOSE ITAKULA KWAKO...!!!
TUME YA UCHAGUZI YAHITIMISHA MAFUNZO YA WASAIDIZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI
-
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe. Awadh Ali Said, akizungumza
wakati wa kufunga mafunzo.
Wasimamizi wasaidizi wa majimbo ya uchaguzi Zanzib...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
,