Huyu ni CPWAAAA... alitimba mzigoni kwa ajili ya maandalizi ya bata za Arusha na Moshi.
Leo ni tarehe 30/10/09 ambapo Arusha ndio paleee Masai camp ktakuwa na party kwa ajili ya wajanja wote wa A-TOWN na kwenye stage ni yule yule mkali zaidi yao si mwingine ni mchizi mwenye muonekano wa kiupole sana umesha mfahamu ni nani mchizi anaye fanya vizuri sana katika upande wa Bongo Crank umesha mjuwa niiiii.... CPWAAAAAA... USIKOSE ITAKULA KWAKO...!!!
KAZI YA UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA LINDI-DAR IKIENDELEA
-
Zoezi la urejeshaji wa miundombinu ya barabara kuu ya Lindi - Dar es Salaam
katika eneo la Somanga Mkoani Lindi ukiendelea ambapo timu ya wataalam
kutoka W...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,