Leo ni tarehe 30/10/09 ambapo Arusha ndio paleee Masai camp ktakuwa na party kwa ajili ya wajanja wote wa A-TOWN na kwenye stage ni yule yule mkali zaidi yao si mwingine ni mchizi mwenye muonekano wa kiupole sana umesha mfahamu ni nani mchizi anaye fanya vizuri sana katika upande wa Bongo Crank umesha mjuwa niiiii.... CPWAAAAAA... USIKOSE ITAKULA KWAKO...!!!
MSHTAKIWA TUNDU LISU: “KESI HAIJASIKILIZWA, LAKINI TAREHE YA HUKUMU
IMESHAWEKWA!”
-
MSHTAKIWA wa kesi ya uhaini, Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo Chadema ameibua hoja mbele ya Mahakama Kuu ya
Tanzani...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,