Leo ni tarehe 30/10/09 ambapo Arusha ndio paleee Masai camp ktakuwa na party kwa ajili ya wajanja wote wa A-TOWN na kwenye stage ni yule yule mkali zaidi yao si mwingine ni mchizi mwenye muonekano wa kiupole sana umesha mfahamu ni nani mchizi anaye fanya vizuri sana katika upande wa Bongo Crank umesha mjuwa niiiii.... CPWAAAAAA... USIKOSE ITAKULA KWAKO...!!!
MABARAZA YA USHINDANI,MASOKO YA MITAJI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Baraza la Masoko ya Mitaji linatarajia kuimarisha ushirikiano kwa
kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa kesi, utatuzi wa migogoro na
matumizi ya tekno...
49 minutes ago

No comments:
Post a Comment
,