Leo ni tarehe 30/10/09 ambapo Arusha ndio paleee Masai camp ktakuwa na party kwa ajili ya wajanja wote wa A-TOWN na kwenye stage ni yule yule mkali zaidi yao si mwingine ni mchizi mwenye muonekano wa kiupole sana umesha mfahamu ni nani mchizi anaye fanya vizuri sana katika upande wa Bongo Crank umesha mjuwa niiiii.... CPWAAAAAA... USIKOSE ITAKULA KWAKO...!!!
JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya
kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe*
*Dkt.Jafo amer...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment
,