Msanii na mmiliki wa bendi ya B Band Banana Zoro atasepa nchini tarehe 28 ya mwezi huu kwenda MAPUTO kwenye tamasha la ktowa msaada linalofahamika UMOJA CONCERT.. mida mida kidogo nitakufahamisha zaidi.
MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO YA QUR’AAN
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla,
anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano makubwa zaidi ya
Q...
2 hours ago

Am happy 4 u banana, hongera kwa kuwa na band nzuri iliyokamilika. Keep on being gud bwana n wishing u peaceful safari.
ReplyDelete