Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.
Benki ya NBC ‘Yawanoa’ Wataalam Teknolojia ya Huduma za Fedha ili Kuchochea
Uchumi Jumuishi.
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendesha semina maalum kwa ajili ya
wadau wa Umoja wa Makampuni yanayotoa Huduma za Kifedha kupitia Teknolojia
Tanzan...
9 minutes ago
Nyalifa kapata sehemu ya kuuza sura angalau du!
ReplyDelete