Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.
Wakulima wa Chama cha Msingi Namkeke Namtumbo Wanufaika na Kampuni ya 3H,
Tobacco Uchumi Wapanda
-
Wakulima wanaojihusisha na kilimo cha tumbaku kupitia chama cha msingi
Namkeke wamepata mafanikio makubwa kiuchumi kufuatia ushirikiano na
kampuni ya 3H...
5 hours ago
Nyalifa kapata sehemu ya kuuza sura angalau du!
ReplyDelete