Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.
Wednesday, October 28, 2009
FID Q LEO ALITIMBA MZIGONI..
Ngosha the don mchizi kutoka Mwanza Fid q alitia maguu pande hizi leo kwa ajili ya maandalizi ya show itakayo fanyika jumamosi hii tarehe 31/10/09 Diamond Jubilee huu utakuwa ni usiku wa Hip Hop show ambayo itahusisha wasanii kutoka hapa nyumbani na kutoka Ufaransa. Fid q nimoja kati ya wasanii watakao wakilisha katika usiku huo wa Hip Hop paoja na professer jay, wanaume Halisi na Mrisho mpoto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Nyalifa kapata sehemu ya kuuza sura angalau du!
ReplyDelete