Ziara ya Waziri Mkuu Arusha Yaweka Msisitizo kwa Utulivu
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha
amani na utulivu nchini akisisitiza kuwa mazingira ya amani ndiyo msingi
m...
1 hour ago

Kaka Bukuku anatupa TASWIRA njema saana kwa hakika.
ReplyDeleteNamshukuru kila iitwayo leo na naamini ataendelea kuwa na afya njema na kuendelea kutuhabarisha, kutuelimisha, kutuonesha na kutupa kwa kila kila kitokeacho mbele ya kamera yake yenye shangwe tele
Kuwa kwenye kiota chake hunifanya niwe na FULL SHANGWE
Blessings