
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA RAIS SAMIA KUANZA RASMI MKOA WA TANGA
APRILI 8 MWAKA HUU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
KAMPENI ya Msaada wa kisheria ya Rais Dkt Samia Suluhu “Mama Samia Legal
Aid Campaign” inatarajiwa kuanza kutoa huduma za msaada ...
4 hours ago
THE BROTHERMAN??????????//// ASHHH, kweli kakosa washauri, hilo jina halina mvuto hata tone, mshikaji ajaribu kutafuta title nyingine watu hawahitaji wauza sura, kinachohitajika ni sanaa nayo huanzia kwenye jina na mengineyo, nani mwenye heshma zake umwambie twende kwenye THE BROTHERMAN BAND?
ReplyDeleteLook at Machozi Band, The B Band and even Kilimanjaro Band.
I can help u, on either SYKES BAND, STAR BAND, RAINBOW BAND, or even 'D TO THE S BAND'.
Ni ushauri tu, Lkn THE BROTHERMAN! Mmh,mmh!
Unajiita Handsome, kweli bongo watu hawalipi
ReplyDeleteMdau US
tunaomba utuwekee na kaka yako choster umo tumuone maana naye si handsome boy wa ilala. na ni mzuri na mnafanana saaaaana ivi ni nduguyo sijui maana hata hatujui wengine
ReplyDelete