Mama mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya picco aliye wahi kutamba na ngoma ya "kikongwe" enzi zile amefaliki dunia siku ya tarehe 16/10/09, Mama yake Picco alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya titi, Mama yake Picco amefariki akiwa Mpanda, Sumbawanga na mazishi yatafanyika huko huko, MPANGO MZIMA INAKUPA POLE SANA PICCO NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMENI.
FCC: MPANGO WA KUREKODI ALAMA ZA BIASHARA KUANZA DESEMBA 2025
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa,
akizungumza wakati akiwasilisha kwa chama cha mawakili cha International
Tra...
17 hours ago

This comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDelete