Zimebaki siku chache sana kabla ya siku ya burudani kukamili siku ambayo burudani itamuhusu kila mtu aliyoko Arusha ama Moshi... hapa naizungumzia THE CRUISE PARTY tarehe 30/10/09 itakuwa Arusha Masai camp na tarehe 31/10/09 ni ndani ya Moshi Club la Liga. Utamu utaongezwa na CPWAAAAA...
MABARAZA YA USHINDANI,MASOKO YA MITAJI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Baraza la Masoko ya Mitaji linatarajia kuimarisha ushirikiano kwa
kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa kesi, utatuzi wa migogoro na
matumizi ya tekno...
1 hour ago

Hi kwa washikajiwote wa mpango mzima. im lily
ReplyDelete