Zimebaki siku chache sana kabla ya siku ya burudani kukamili siku ambayo burudani itamuhusu kila mtu aliyoko Arusha ama Moshi... hapa naizungumzia THE CRUISE PARTY tarehe 30/10/09 itakuwa Arusha Masai camp na tarehe 31/10/09 ni ndani ya Moshi Club la Liga. Utamu utaongezwa na CPWAAAAA...
MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO YA QUR’AAN
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla,
anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano makubwa zaidi ya
Q...
2 hours ago

Hi kwa washikajiwote wa mpango mzima. im lily
ReplyDelete