Katika East afrika tv kuna kipindi kinaitwa 5selekt ni kipindi kinacho wahusu wanafunzi wote wa Aafrika mashariki na kila Alhamis ya mwisho wa mwezi wanafunzi wanasogezewa burudani karibi baada ya kupiga buku kwa muda mrefu sana.
Hilo shangwe ni la Dully ambaye ndio alikuwa na jukumu la kugawa burudani shuleni hapo.
Time ya Shikide ikafika kilichotokea ndio hiki wanafunzi walishindwa kujizuia wakaungana kwenye stage na mr. Shikide.
Hapa sasa mwenye macho haambiwi tazama.
Kweli burudani ndio kila ki2 pamoja na juwa kuwa kali lakini wapi......!!!!!
Unamuona Qeen Doren...!!!
Ndugu hiyo ni fashion show kutoka kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mama Salma Kikwete niskize mm pia....!!!
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment
,