PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Thursday, November 26, 2009
MAKAMUZI YA 5SELEKT KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAMA SALMA KIKWETE
Katika East afrika tv kuna kipindi kinaitwa 5selekt ni kipindi kinacho wahusu wanafunzi wote wa Aafrika mashariki na kila Alhamis ya mwisho wa mwezi wanafunzi wanasogezewa burudani karibi baada ya kupiga buku kwa muda mrefu sana.
Hilo shangwe ni la Dully ambaye ndio alikuwa na jukumu la kugawa burudani shuleni hapo.
Time ya Shikide ikafika kilichotokea ndio hiki wanafunzi walishindwa kujizuia wakaungana kwenye stage na mr. Shikide.
Hapa sasa mwenye macho haambiwi tazama.
Kweli burudani ndio kila ki2 pamoja na juwa kuwa kali lakini wapi......!!!!!
Unamuona Qeen Doren...!!!
Ndugu hiyo ni fashion show kutoka kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mama Salma Kikwete niskize mm pia....!!!
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
No comments:
Post a Comment
,