Mchizi kutoka Dodoma namzungumzia Mangwear tayari amesha dondosha mzigo kitaa soo... hii ndio time ya kuonyesha uzalendo kwa kuacha kununuwa copy fake na kuwawezesha wasanii wetu kufika hatuwa ya kuridhisha zaidi sasa cha kufanya ni kutafuta copy yako ili uwe moja kati ya watu wanaotaka kuinuwa muziki wetu wa kizazi kipya.
Bridging the Gap: JAB to Partner with Bloggers Network on Training
-
*Tanzania Bloggers Network (TBN) Chairman Beda Msimbe (left) meets with the
Journalism Accreditation Board’s Acting Director General, Advocate Patrick
Ki...
29 minutes ago

No comments:
Post a Comment
,