.

Wednesday, November 18, 2009

MZIGO WA NGWEAR UMESHAINGIA KITAA..!!

Mchizi kutoka Dodoma namzungumzia Mangwear tayari amesha dondosha mzigo kitaa soo... hii ndio time ya kuonyesha uzalendo kwa kuacha kununuwa copy fake na kuwawezesha wasanii wetu kufika hatuwa ya kuridhisha zaidi sasa cha kufanya ni kutafuta copy yako ili uwe moja kati ya watu wanaotaka kuinuwa muziki wetu wa kizazi kipya.

No comments:

Post a Comment

,