Mchizi kutoka Dodoma namzungumzia Mangwear tayari amesha dondosha mzigo kitaa soo... hii ndio time ya kuonyesha uzalendo kwa kuacha kununuwa copy fake na kuwawezesha wasanii wetu kufika hatuwa ya kuridhisha zaidi sasa cha kufanya ni kutafuta copy yako ili uwe moja kati ya watu wanaotaka kuinuwa muziki wetu wa kizazi kipya.
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,