Mchizi kutoka Dodoma namzungumzia Mangwear tayari amesha dondosha mzigo kitaa soo... hii ndio time ya kuonyesha uzalendo kwa kuacha kununuwa copy fake na kuwawezesha wasanii wetu kufika hatuwa ya kuridhisha zaidi sasa cha kufanya ni kutafuta copy yako ili uwe moja kati ya watu wanaotaka kuinuwa muziki wetu wa kizazi kipya.
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,