.

Sunday, November 22, 2009

HIVI NDIVYO WANAFUNZI WALIVYO KUTANISHWA PA1 KATIKA BRING IT ON CONCERT.

Hapa sasa ni back stage kushoto ni Baby Madaha pamoja na kijana kutoka crew ya Uswazi anaitwa Gelly. Hawa wote walihusika poa katika stage.

Muite PHD, DRY CHAMA au Hemed akiwa na bi shost Angel, Hemedi ni moja kati ya wasanii walio kamua katika tamasha hilo.

Mchizi ambaye anauwezo mkubwa sana katika free style muite God zilla stage pia ilimuhusu.

Jamani hata kama hatuna mvuto wa kupiga picha lakini mara moja moja sio mbya na sisi kuuza si unaona hapo mpango mazima umekamilika naanza mm dullah,Madaha na Gelly.


Haya sasa hapa ndio patam nipo na mrembo Angel, back stage katika tamasha la Bring it on.

Katika tamasha hilo kulikuwa na mashindano kwa wanafunzi mashindano ya kucheza, maigizo, kuimba na mengine mengi na hawa ndio walikuwa ma judge si unamuona luchi (mwenye mawani)

Huyu ni mbunge wa Ilala Mh. Mussa Azan 'Zungu' ndio alikuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo.

Wanafunzi walipata muda wa kupiga picha na wasanii walio kamua siku hiyo, huyo ni TID akiwa na wanafunzi wa shule mbali mbali.

Hawa ni wanafunzi wa shule ya Makongo wakiwa wanajiandaa kwa ajili ya kuingia ndani na kuungana na wenzao katika tamasha la Bring it on Diamond Jubilee.

Kwa sababu ishu ilikuwa inahusu wanafunzi basiiiii...!!!! mtu mzima Allan Lucky, Skonga ili mlazimisha yeye kuwepo hapo coz.. Skonga ni kipindi kinacho husu wanafunzi na walihusika nacho poa sana kipindi hiko.

Mpango mzima wa Skonga ulikuwa ukiendelea kwa style hii.

No comments:

Post a Comment

,