Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
10 hours ago

hello wakuu wa Mpango Mzima
ReplyDeleteBig Up sana kwa crew nzima ya EATV, nawapa wote pole waliomiss hyo show maana haijawahi kutokea Moshi na ndani ya club La Liga
Nilihudhuria hiyo show ilikuwa ya ukweli na uhakika na ilitendea haki wakazi wa Moshi
Ombi langu Kubwa nawaomba sanaa tena sanaa kwa heshima ya Kanda ya kaskazini Mrejee tena mybe Dec. Tunawapenda sna EATV na tunawakilisha pamoja sna
Karibuni snaaaa
Big Up Musaaa Mfalme wa uswazi na Dj Mafuvuuuu na Crew nzima