MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
7 hours ago
hello wakuu wa Mpango Mzima
ReplyDeleteBig Up sana kwa crew nzima ya EATV, nawapa wote pole waliomiss hyo show maana haijawahi kutokea Moshi na ndani ya club La Liga
Nilihudhuria hiyo show ilikuwa ya ukweli na uhakika na ilitendea haki wakazi wa Moshi
Ombi langu Kubwa nawaomba sanaa tena sanaa kwa heshima ya Kanda ya kaskazini Mrejee tena mybe Dec. Tunawapenda sna EATV na tunawakilisha pamoja sna
Karibuni snaaaa
Big Up Musaaa Mfalme wa uswazi na Dj Mafuvuuuu na Crew nzima