.

Wednesday, November 11, 2009

KILA JAMBO LINAPANGWA NA MUNGU.

Hili ni tukio la kusikitisha sana lililotekea huko mkoani Kilimanjaro wilaya ya Same katika kijiji cha Goha, Tumepoteza Watanzania wenzetu wengi tu mpaka sasa inakadiriwa ni watu 27 wamefariki kutokana na hayo maporomoko ya ardhi yaliyo sababishwa na mvua kubwa zinazonyesha huko.
Mpango Mzima imeona haina budi kuwapa pole wale wote walioguswa na janga hili kwa nama moja ama nyingine na MUNGU AZILALE ROHO ZA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMIN.

No comments:

Post a Comment

,