Hili ni tukio la kusikitisha sana lililotekea huko mkoani Kilimanjaro wilaya ya Same katika kijiji cha Goha, Tumepoteza Watanzania wenzetu wengi tu mpaka sasa inakadiriwa ni watu 27 wamefariki kutokana na hayo maporomoko ya ardhi yaliyo sababishwa na mvua kubwa zinazonyesha huko.
Mpango Mzima imeona haina budi kuwapa pole wale wote walioguswa na janga hili kwa nama moja ama nyingine na MUNGU AZILALE ROHO ZA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMIN.
ASKOFU MABOYA AHIMIZA HAKI KATIKA KUWATUMIKIA WATANZANIA.
-
Askofu Mkuu wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Mtume Dkt. Dunstan
Maboya akiambatana na Viongozi wengine wa kanisa hilo wameongoza maombi
Maalum ya k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,